Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nina latop ya Zamani nataka nunua mpya.
Swali je naweza hamisha kila kitu ninamaana files na software kutoka laptop ya zamani kwenda mpya. Inahitaji mtu wa IT ama hata mimi Mchungaji naweza fanya hilo?
Wasalaam
Rev Fr Masa K wa Kanisa la kupinga ufisadi
Swali je naweza hamisha kila kitu ninamaana files na software kutoka laptop ya zamani kwenda mpya. Inahitaji mtu wa IT ama hata mimi Mchungaji naweza fanya hilo?
Wasalaam
Rev Fr Masa K wa Kanisa la kupinga ufisadi