Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Nina latop ya Zamani nataka nunua mpya.
Swali je naweza hamisha kila kitu ninamaana files na software kutoka laptop ya zamani kwenda mpya. Inahitaji mtu wa IT ama hata mimi Mchungaji naweza fanya hilo?
Wasalaam
Rev Fr Masa K wa Kanisa la kupinga ufisadi
Kachunge kondoo wa kanisani, wape IT wakufanyie kazi lol