Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,102
- 2,152
Kwa sisi ambao hatujachaguliwa udom ila tulituma maombi,je round hii ya pili kutuma maombi tunafanyaje mana ukiingia kwenye profile yako uanakuta wameandika your application is successfully submitted na inaonyesha round ya kwanza
Je tunatakiwa kufanya nini ili tuweze kutuma maombi kwa ajili ya second selection,msaada tafadhali kwa anaelifahamu hili ukipiga simu hawapokei dawati lao la msaada udom,unabaki hujui ufanye nini.
Je tunatakiwa kufanya nini ili tuweze kutuma maombi kwa ajili ya second selection,msaada tafadhali kwa anaelifahamu hili ukipiga simu hawapokei dawati lao la msaada udom,unabaki hujui ufanye nini.