Tetesi: MSAADA

Nakulapochi Mtoto

New Member
Jul 12, 2019
2
0
Nimeomba chuo fulani lakini nilipoangalia tena taarifa zangu baada ya kufanya submission nikakuta kwamba nimekosea tarehe ya kuzaliwa(nimechanganya mwezi na tarehe). Lakini kwenye kipengere cha ATTACHMENTS hawajahitaji cheti cha kuzaliwa. Je, hii haiwezi kupelekea kukataliwa kwa maombi yangu?
 
Back
Top Bottom