MSAADA

MSAADA

mjukuuwanombo

Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
14
Reaction score
18
Hlw, samahan naomba kuuliza mfano kama mtu ana model number ya tv yako anaweza kuifunga isionyeshe pic au kuondoa mwanga?
Koz tv yangu ghafla leo imeanza kufifia mwanga mpaka kutoonyesha kabisa! Nimejarbu kuizima kwa muda na kuiwasha tena bila mafanikio! Ni smart tv
 
Back
Top Bottom