Msaada

Dr-of-three-Phd

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
202
30
Kupata vidonda kwenye mdomo hasa sehemu ile (kamshipa kanakoshika fizi) ambayo mdomo uwe wa juu au wa chini unashikwa na fizi.

Kunatokana na nini?
 
Hi. Mimi sio daktari ila nilipouliza hilo swali nilijibiwa hivi:
inaweza kua ni fungus (candidosis). kunywa nystatine.
Inatokana pia na kupunguka kwa vitamin C mwilini (Scurvy, zaidi inatokea kwenye fizi lenyewe, linapoungana na jino). kula matunda mengi hasa aina ya machungwa, machenza, ndimu na limao. ikibidi kunywa tembe za vitamin C kwa muda.
Inasababishwa pia na Herpes ambayo inaambukia kwa ku-kiss mtu mwenye kuumwa herpes (huwezi mtambua kwa haraka ila mara kwa mara anatoka vidonda around mdomo, vidonda vya "homa").
 
Hi. Mimi sio daktari ila nilipouliza hilo swali nilijibiwa hivi:
inaweza kua ni fungus (candidosis). kunywa nystatine.
Inatokana pia na kupunguka kwa vitamin C mwilini (Scurvy, zaidi inatokea kwenye fizi lenyewe, linapoungana na jino). kula matunda mengi hasa aina ya machungwa, machenza, ndimu na limao. ikibidi kunywa tembe za vitamin C kwa muda.
Inasababishwa pia na Herpes ambayo inaambukia kwa ku-kiss mtu mwenye kuumwa herpes (huwezi mtambua kwa haraka ila mara kwa mara anatoka vidonda around mdomo, vidonda vya "homa").

Fungus (Candidiasis) huwa wanakuwa utando mweupe hivi kama umekunywa maziwa ya mtindi kwenye fizi, ulimi, na kuta za ndani za mdomo...sidhani kama hiyo ni Candidiasis, ambayo japo huwa inatibiwa na Nystatin, lakini sikushauri utumie dawa hiyo kwani sidhani kuwa ni tatizo hilo (kwa maelezo uliyotoa).

Most likely hiyo ni Scurvy (upungufu wa Vitamin C) mwilini, na matibabu yake ni kama alivyokushauri Roulette..in addition, unaweza meza vidonge vya Vitamin C (Ascorbic Acid) na juice zenye Vitamin C (mfano juice za machungwa, maembe, mananasi, passion, ndimu/limao).

Herpes Simplex vipele/vidonda vyake huwa nje ya mdomo kwenye maeneo ya lips kitaalam Herpes Labialis (vile vipele tunavyoita vipele vya homa), sidhani hiyo ni Herpes.
NB: Herpes Simplex haiambukizwi kwa kukiss mtu mwenye Herpes. Haiambukizi kabisaaa. Kinachotokea ni re-activation ya Herpes Simplex Virus ambao wenyewe wanakuwa ndani sana kwenye ganglion za neva (mishipa ya fahamu) ambayo inasimamia eneo hilo. Hivyo haiambukizi.
 
Fungus (Candidiasis) huwa wanakuwa utando mweupe hivi kama umekunywa maziwa ya mtindi kwenye fizi, ulimi, na kuta za ndani za mdomo...sidhani kama hiyo ni Candidiasis, ambayo japo huwa inatibiwa na Nystatin, lakini sikushauri utumie dawa hiyo kwani sidhani kuwa ni tatizo hilo (kwa maelezo uliyotoa).

Most likely hiyo ni Scurvy (upungufu wa Vitamin C) mwilini, na matibabu yake ni kama alivyokushauri Roulette..in addition, unaweza meza vidonge vya Vitamin C (Ascorbic Acid) na juice zenye Vitamin C (mfano juice za machungwa, maembe, mananasi, passion, ndimu/limao).

Herpes Simplex vipele/vidonda vyake huwa nje ya mdomo kwenye maeneo ya lips kitaalam Herpes Labialis (vile vipele tunavyoita vipele vya homa), sidhani hiyo ni Herpes.
NB: Herpes Simplex haiambukizwi kwa kukiss mtu mwenye Herpes. Haiambukizi kabisaaa. Kinachotokea ni re-activation ya Herpes Simplex Virus ambao wenyewe wanakuwa ndani sana kwenye ganglion za neva (mishipa ya fahamu) ambayo inasimamia eneo hilo. Hivyo haiambukizi.

Mheshimiwa hiyo NB yako ina walakini,alafu naona unazidi kusisitiza "haimbukizi kabisa".Herpes simplex (HSV-1) inambukizwa kwa kunyonyana midomo.
 
Mheshimiwa hiyo NB yako ina walakini,alafu naona unazidi kusisitiza "haimbukizi kabisa".Herpes simplex (HSV-1) inambukizwa kwa kunyonyana midomo.

he made a mistake .. but the rest he might be right! could me Vitamin C ... ni kawaida watu tunasahau kula matunda .. namshauri mtoa mada anywe juice ya matunda .. hajapata afadhali with 1 week akimbie hospital
 
Kiroboto...Njiwa, my apologies. Thanks for correction.
 
Back
Top Bottom