Habari wana jf
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada wa kupata dawa nzuri ya kinywa inayoweza kutibu fizi zinazotoa damu mara kwa mara. Msaada wenu jamani.
Pengine ni moja ya dalili ya ugonjwa wa Kiseyeye (Scurvy) inayosababishwa na ukosefu au upungufu wa vitamin c(ascorbic acid)... Kula matunda na mboga za majani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.