Msaada

Davooo

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
506
776
Habari wanajf,
Mimi ni kijana Wa kiume 26 aged,issue ni kwamba Nina viuvimbe vidogo kwenye maziwa yangu(vile vya balehe)so tangu kubalehe kwangu havijaondoka
Kipindi nipo o level nilijishughulisha sana na punyeto(nikiwa kwenye balehe stege)sasa hadi Leo havijaondoka na kuna wakati nikiviminya vinaondoka bt soon vinarud na kufanya uvimbe uonekane tena
Msaada plz
 
Back
Top Bottom