Laptop yangu inasumbua Password yake

Quartz360

Senior Member
Mar 27, 2023
124
302
Habari zenu Wana jukwaa.

Msaada tafadhali.

Laptop yangu (LENOVO YOGA 11e THINKPAD). Inakataa ku-log in, japo password ni sahihi kabisa na Caps nazingatia. Nikiweka password inasema Welcome inaanza ku-load kwa sekunde kadhaa inasema tena Incorrect password, Try again. Shida ni nini wakuu
 
Password haiwezi kugoma kama ipo sahihi jaribu kukumbuka vizuri.

Ni sawasawa utafute jembe sehemu uliyohifadhi shoka, huwezi kulipat. Hicho unachoandika kinapelekwa kuoanishwa na kilichohifadhiwa kwenye database(stoo). Ikitokea kinamatch pc inafunguka kisipomatch ndio kama hivyo.

Jaribu kutumia Onscreen keyboard inaweza kuwa msaada.
 
Password haiwezi kugoma kama ipo sahihi jaribu kukumbuka vizuri.

Ni sawasawa utafute jembe sehemu uliyohifadhi shoka, huwezi kulipat. Hicho unachoandika kinapelekwa kuoanishwa na kilichohifadhiwa kwenye database(stoo). Ikitokea kinamatch pc inafunguka kisipomatch ndio kama hivyo.

Jaribu kutumia Onscreen keyboard inaweza kuwa msaada.
Ngoja nijaribu mkuu.
 
๐‡๐ฎ๐ค๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐Ÿ๐ฅ๐š๐ฌ๐ก?
 
๐ฐ๐ž๐ค๐š ๐ฐ๐ข๐ง๐๐จ ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š
 
Ikishindikana kabisa,kuna application unatumia kutoa Login passwords.

Huna haja ya kupiga Windows mpya au kulazimisha. Maana hapa umeisahau tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom