Wakuu poleni na mahangaiko ya hapa na pale, naitaji gari la mkopo. Kama kuna mtu anajua yadi wanayokopesha magari kila mwez ukawa unalipa nitashukuru saaana na mashart yake kama unajua.
0769038065 no. Yangu.
Nashukuru saaana
wakuu poleni na mahangaiko ya hapa na pale, naitaji gari la mkopo. Kama kuna mtu anajua yadi wanayokopesha magari kila mwez ukawa unalipa nitashukuru saaana na mashart yake kama unajua.
0769038065 no. Yangu.
Nashukuru saaana
Naskia zipo yard unaanza kutoa atleast 50% ya cost ya gari then kilichobaki unalipa in installments but possession of the car remain to the seller until u make the final installment. Kama kuna mwenye ufahamu zaidi juu ya hili naomba atufafanulie kwa faida ya wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.