Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,211
Mwili wangu unachoka sana ata nisipofanya kazi yeyote! naweza kaa nyumbani ata siku tatu sifanyi chochote lakini ikifika mda wa kulala kweli unakua kama nilifanya kazi kweli, nachoka sanaa
naombeni ushauri wa kitabibu, nini tatizo, nikacheki kitu gani, au nitumie nini ili niondokane na khari hii?
naombeni ushauri wa kitabibu, nini tatizo, nikacheki kitu gani, au nitumie nini ili niondokane na khari hii?