matatizo mengi sana hutokea pindi bunge linapokuwa chini ya wenyeviti,tuliona kwa Zungu,jana tumeona kwa (simjui jina lake) .....je kunasifa gani kumpata mwenyekiti wa bunge?
Huwa wenyeviti wa bunge sifa kubwa ni kutetea ccm kwani kura ni nyingi kutoka ccm.Na ndio wanataka ili ,mradi awe chizi tu wa kuzuia hoja muhimu kutoka upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.