LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Wakuu naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye kujua ni wapi naweza pata/down load engine electrical wiring.
Mchoro wa engine model :1KZ-TE, 1JZ
kuna gari ilipata ajari so wezi waliiba baadhi ya sensor za kwenye engine pamoja na control yenyewe na waya zikakatwa katwa sana.
Naomba msaada wenu gari nimeifanyia wiring lkn inazingua.
Naomba msaada wenu.
Mchoro wa engine model :1KZ-TE, 1JZ
kuna gari ilipata ajari so wezi waliiba baadhi ya sensor za kwenye engine pamoja na control yenyewe na waya zikakatwa katwa sana.
Naomba msaada wenu gari nimeifanyia wiring lkn inazingua.
Naomba msaada wenu.