mazongera
Member
- Jan 17, 2015
- 43
- 47
Ni matumaini yangu mu-wazima was afya. Nina nina Android device aina ya VIWA X6, ilitokea itilafu ya kuzima ghafla.
Niliipeleka kwa fundi kwa ajili ya matengenezo,nashukuru Mungu simu imeweza kuwaka tena. Tatizo lililopo ni kuwa, inadai niingize Gmail account yangu ambayo kila nikiingiza hai-respond nimejaribu zaidi ya mara tatu imeshindikana hivyo naomba msaada juu ya hili natanguliza shukrani.
Niliipeleka kwa fundi kwa ajili ya matengenezo,nashukuru Mungu simu imeweza kuwaka tena. Tatizo lililopo ni kuwa, inadai niingize Gmail account yangu ambayo kila nikiingiza hai-respond nimejaribu zaidi ya mara tatu imeshindikana hivyo naomba msaada juu ya hili natanguliza shukrani.