Msaada wenu hasa wajuzi wa compyuta unahitajika.

Internal

JF-Expert Member
Feb 23, 2017
3,575
3,894
Nina laptop yangu wakuu imezingua upande wa kushusha window, mwanzo nilikuwa natumia window 10 ikaleta shida kidogo ya kutokubali kuingiza program na setting ikawa haifunguki nikashauriwa nibadili window nikampa mtaalam wa anisaidie kushusha akashusha window 7 lakini hapa pc ipo tu haifunguki hadi mwisho inawaka tu na kuzima na kuwaka bila kufika kwenye menu. Pc ni ASUS

Msaada wenu wakuu mwaminifuhalisi na wengine karbuni.
Natanguliza shukrani.
 
Tatizo hilo ulipokua unatumia Windows 7 limeanza lini?
Kuanzia ulipopiga windows 10 tatizo lilikua n shortcut viruses that's y setting ilikua haifunguki..
Check pia ni OS 64 bit or 32 bit...
Then piga Windows upya..ukihitaji activation keys za windows 10 msaada utapata.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
yangu pia huwa unaleta hayo mapicha picha bt huwa nalitatua hivi nafanya kama napiga windows mpya ikifikia sehemu ya kuformat na kudelete windows ile ya zamani ili niweke mpya na cancel kisha naizima mashine na niiwasha huwa inawaka mpaka mwisho, mimi mashine yangu huwa inaleta mapicha hayo kama nitaitumia mpaka charge iishe na kusababisha mashine ijizime yenyewe au kama nitaizima kupitia button ya powerOff wakati sijazifunga baadhi ya program mfano vlc ikiwa ina play kisha nami nikailazimisha kuioff kwa kutumia Button ya PowerOff
 
yangu pia huwa unaleta hayo mapicha picha bt huwa nalitatua hivi nafanya kama napiga windows mpya ikifikia sehemu ya kuformat na kudelete windows ile ya zamani ili niweke mpya na cancel kisha naizima mashine na niiwasha huwa inawaka mpaka mwisho, mimi mashine yangu huwa inaleta mapicha hayo kama nitaitumia mpaka charge iishe na kusababisha mashine ijizime yenyewe au kama nitaizima kupitia button ya powerOff wakati sijazifunga baadhi ya program mfano vlc ikiwa ina play kisha nami nikailazimisha kuioff kwa kutumia Button ya PowerOff
Hapa soln inabidi uimalizie kupiga Windows vizuri na udelete ya zaman from local dick C...au Fanya recovery kwa kama unapiga windows itaresolve hyo issue.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwanini usinunue MACBOOK AIR OR PRO, hii ni apple brand ina IOS,huhitaji kupiga hayo ma-windows binasfi natumia ios iko poa sana JARIBU.....U'LL NEVER REGRET

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hilo ulipokua unatumia Windows 7 limeanza lini?
Kuanzia ulipopiga windows 10 tatizo lilikua n shortcut viruses that's y setting ilikua haifunguki..
Check pia ni OS 64 bit or 32 bit...
Then piga Windows upya..ukihitaji activation keys za windows 10 msaada utapata.

Post sent using JamiiForums mobile app
Nashukuru mkuu sory kwa kucjelewaa kujibu lakini.


Ngoja nishushe window tena.

Kama una link ya kudowload window 10 nisaidie mkuu.

Unachosema ni kweli kabsa kama ulikuepo maana ant viruse ilikuwa haiko active.
 
yangu pia huwa unaleta hayo mapicha picha bt huwa nalitatua hivi nafanya kama napiga windows mpya ikifikia sehemu ya kuformat na kudelete windows ile ya zamani ili niweke mpya na cancel kisha naizima mashine na niiwasha huwa inawaka mpaka mwisho, mimi mashine yangu huwa inaleta mapicha hayo kama nitaitumia mpaka charge iishe na kusababisha mashine ijizime yenyewe au kama nitaizima kupitia button ya powerOff wakati sijazifunga baadhi ya program mfano vlc ikiwa ina play kisha nami nikailazimisha kuioff kwa kutumia Button ya PowerOff
Asante mkuu ngoja niifanyie kazi pia hii idea
 
Kwanini usinunue MACBOOK AIR OR PRO, hii ni apple brand ina IOS,huhitaji kupiga hayo ma-windows binasfi natumia ios iko poa sana JARIBU.....U'LL NEVER REGRET

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kwanza sio kweli kwamba macbook zinatumia ios.
Pia sio solution maana kama mwanafunzi kuna softwares kibao ambazo kwenye platform ya mac hazipatikani labda azirun kwenye wine boatler au aweke na.windows pembeni kitu ambacho kitamfanya arudi kule kule.
 
Jaribu kwa kubadili hdd kwanza uone kama tatizo litaisha.
Nope, HDD is not a problem here.
Hao wanasumburiwa na shortcut virus flan nishakutananae katika haya mambo ya kitaalamu.
Ukitaka kupiga windows unashangaa image inatafunwa, ikifanikiwa windows hiwezi kuingia settings.
Soln : nilianza kupiga windows 8.1 pro na nikaformat local disc C,then nikapiga tena windows 10 pro na nikaformat tena local disc C...kuanzia hapo tatizo hilo nikawa naresolve hvyo.
Maana kunasortcut virus huyo n balsa,akiingia kwenye PC yako lazima ataharibu mambo na huwezi kupiga windows nyingine kama huna utaalamu.
Ukikwama omba assistance.
 
Nina laptop yangu wakuu imezingua upande wa kushusha window, mwanzo nilikuwa natumia window 10 ikaleta shida kidogo ya kutokubali kuingiza program na setting ikawa haifunguki nikashauriwa nibadili window nikampa mtaalam wa anisaidie kushusha akashusha window 7 lakini hapa pc ipo tu haifunguki hadi mwisho inawaka tu na kuzima na kuwaka bila kufika kwenye menu. Pc ni ASUS

Msaada wenu wakuu mwaminifuhalisi na wengine karbuni.
Natanguliza shukrani.

Umefanikiwa kutatua tatizo?
Kama bado
Tucheki +255 675 803 318 whatsApp
 
Dah nimecheka sana yaan
tatizo la juni 15 2017 jamaa anaulizia june 10 2020
Halafu na wewe umemjibu tarehe hiyo hiyo june 15 2020 uloweka tatizo yaan miaka mi3 net bila chenga
Maisha ni mfanano kama ivi yani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom