Msaada wenu wana jf

MC babuu

Member
Jun 19, 2012
69
10
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa wote mliopitia uzi huu na wote watakaotoa msaada ahsanteni.naomba yeyote mwenye link za kuweza ku-download katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania.najua jf ni jukwaa la wastaarabu nategemea majibu mazuri.naomba kuwasilisha
 
Nashkuru sana king kong ila nimesha google mara kibao link zikija nadownload adi 100% nikija kuangalia baada ya kukamilika nakuta ni empty ni kichwa cha habari pekee ndo kipo.
 
Back
Top Bottom