MIUNDOMBINU
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 465
- 96
Wakuu salaam.
Nina wazo la kuanzisha kampuni ya tours hapa dar, lakini sijui utaratibu mzima wa jinsi ya kuanzisha kampuni ya aina hiyo.
Wala sina mtu wa karibu mwenye uzoefu wa kutosha katika sekta hiyo.
Ombi langu: Ninaomba kufahamisha utaratibu wa jinsi ya kusaji, uendeshaji, masoka na mambo mengineyo yahusuyo biasharra hiyo.
Asanteni.
Nina wazo la kuanzisha kampuni ya tours hapa dar, lakini sijui utaratibu mzima wa jinsi ya kuanzisha kampuni ya aina hiyo.
Wala sina mtu wa karibu mwenye uzoefu wa kutosha katika sekta hiyo.
Ombi langu: Ninaomba kufahamisha utaratibu wa jinsi ya kusaji, uendeshaji, masoka na mambo mengineyo yahusuyo biasharra hiyo.
Asanteni.