Msaada wenu wakuu!

Msaada wenu wakuu!

Dodoma moja

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
307
Reaction score
184
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!
 
Inawezekana...ndoa ni zaidi ya tofauti ya miaka...misingi imara ya ndoa ni maelewano, mawasiliano, upendo, heshima, uvumilivu etc... wengine wataongezea....chukua list ya wachangiaji wengine alafu miaka/age difference kiwe ni kitu cha mwisho kwenye hiyo orodha.
 
Ndio nishawahi kuwa shuga mamy wa mtu lol...
wewe je?

If that's true hongera sana kwa kutambua what u need n mostly kutambua what makes u happy
However am Aman so we mostly date younger but for me yeah nimedate Mara kadhaa na older women n I honestly love t but I don't know y
 
If that's true hongera sana kwa kutambua what u need n mostly kutambua what makes u happy
However am Aman so we mostly date younger but for me yeah nimedate Mara kadhaa na older women n I honestly love t but I don't know y
Mi nazingua mwayego, sijawahi kuwa na mtu niliemzidi umri
 
MKUBWA kiela ama kiumri,??

KAMA KIHELA SAWA ILA KIUMRI HELL NAAHHH
 

Attachments

  • 1400322180040.jpg
    1400322180040.jpg
    33.5 KB · Views: 190
mariah-carey-nick-cannon-time-100.jpg

Nicholas Scott "Nick" Cannon (born October 8, 1980) and Mariah Carey (born March 27, 1970)
On April 30, 2008, Carey married Cannon at her private estate on Windermere Island in The Bahamas
 
Back
Top Bottom