Wakuu naombeni msaada wenu kuna kiwanja niliachiwa na baba yangu miaka ya nyuma kipo Tanga wilaya ya Lushoto nahitaji kuuza hilo eneo sasa kwa bahatimbaya hatimiliki Sina sasa nawezaje kuuza naombeni ushauri
montessori Karibu na shule ya msingi eneo nikubwa unaweza jenga hata nyumba tatu hivi pia lina miti pia niliwahi kutaka kujenga nyumba kwahiyo nilichimba kiwanja kabisa
montessori Karibu na shule ya msingi eneo nikubwa unaweza jenga hata nyumba tatu hivi pia lina miti pia niliwahi kutaka kujenga nyumba kwahiyo nilichimba kiwanja kabisa
Wakuu naombeni msaada wenu kuna kiwanja niliachiwa na baba yangu miaka ya nyuma kipo Tanga wilaya ya Lushoto nahitaji kuuza hilo eneo sasa kwa bahatimbaya hatimiliki Sina sasa nawezaje kuuza naombeni u