Msaada wenu unahitajika ili kulinda ndoa yangu

Msaada wenu unahitajika ili kulinda ndoa yangu

Uislamu sio kuacha kula Nguruwe,ni imani,ulitakiwa umfundishe uislamu mkuu,kutokula nguruwe ni kipengele kidogo tu cha uislamu,ni cha vitu vilivyoharamishwa.Vitu vilivyoharamishwa ni vingi mkuu na hivyo ungemuelekeza.Mimi siafiki kuoa mtu aliyekulia na dini yake mpaka akawa mtu mzima wa kuoa,alikubali uislamu tu kwa ajili ya ndoa maana manaswara wenzake hawakuwa tayari kumuoa.Mkuu huyo hana imani ya dini ya kiislamu,bado ni mkristo ndio maana anjificha ili ale nguruwe.Cha kufanya ongea naye mkuu muelimishe na umpeleke madrasa ya watu wazima,muambie kama anaona unavyompenda hatosheki ila apate nguruwe mwambie unachukia,na katika mambo ambayo hayapendezi ni mke kumkera mume wake.Mueleweshe majukumu ya mke kwa mume wake.Na imani kama alibadili dini anakupenda ni kumrekebisha tu kidogo mbavu hazijanyooka mkuu.
Asantee mkuu wangu
 
Mimi ni Muislamu nguruwe ni haramu Nenda Kasome Suuratul Al Baqara .
Labda uwe huna dini kwa wakristo sijui.
Nimesoma jumbe zako zote. Kwa dhati napokea ujumbe na ushauri wako asantee. Naomba unaiambie naweza kumface vipi!????
 
Uislamu sio kuacha kula Nguruwe,ni imani,ulitakiwa umfundishe uislamu mkuu,kutokula nguruwe ni kipengele kidogo tu cha uislamu,ni cha vitu vilivyoharamishwa.Vitu vilivyoharamishwa ni vingi mkuu na hivyo ungemuelekeza.Mimi siafiki kuoa mtu aliyekulia na dini yake mpaka akawa mtu mzima wa kuoa,alikubali uislamu tu kwa ajili ya ndoa maana manaswara wenzake hawakuwa tayari kumuoa.Mkuu huyo hana imani ya dini ya kiislamu,bado ni mkristo ndio maana anjificha ili ale nguruwe.Cha kufanya ongea naye mkuu muelimishe na umpeleke madrasa ya watu wazima,muambie kama anaona unavyompenda hatosheki ila apate nguruwe mwambie unachukia,na katika mambo ambayo hayapendezi ni mke kumkera mume wake.Mueleweshe majukumu ya mke kwa mume wake.Na imani kama alibadili dini anakupenda ni kumrekebisha tu kidogo mbavu hazijanyooka mkuu.
Amezali ukristo ,amekulia ukiristo na mpaka anamchukua akiwa katka imani ya kikristo
Yeye angeweza kumpata binti wa kiislamu safi haya ya uharamu asingetuletea
Itafka kipind ataipika ndani ya nyumba yake
 
Nimesoma jumbe zako zote. Kwa dhati napokea ujumbe na ushauri wako asantee. Naomba unaiambie naweza kumface vipi!????
Usimkataze moja kwamoja kula kwanza mjengee mazingira ya kuujua uislam na kuupenda kuna waalimu wa madrasa wanawake na vyuo pia. Usimkataze Kama wewe hutaki bali mkataze kwa misingi ya dini anachofanya nichukizo kwa Allah anayewapa baraka, her na amani hapo Nyumbani na asiache kwakukuogopa wewe aache kwa kumuogopa Allah (S.a.w)
 
Walimu wa madrasa nao siwaamini
Wanawake wanafundishwa na ustadhat sio ustadh sasa watamfanyaje?mtoto akivunja ungo na kuanza kuota chuchu vile vindimu ustadh hawezi kumfundisha maana naye ni binnaadamu anaweza kumtamani amtndike bakora.
 
Amezali ukristo ,amekulia ukiristo na mpaka anamchukua akiwa katka imani ya kikristo
Yeye angeweza kumpata binti wa kiislamu safi haya ya uharamu asingetuletea
Itafka kipind ataipika ndani ya nyumba yake
Usimwambie hivyo mkuu,Tunapomvuta mmoja wao kuja kwetu basi tunapata faida,Tunapompoteza mmoja wetu kwenda kwao tunapata hasara.
 
Back
Top Bottom