Msaada wenu unahitajika ili kulinda ndoa yangu

Msaada wenu unahitajika ili kulinda ndoa yangu

Kwani baadhi ya wakristo wanavyofanya uzinifu Ovyoo ndivyo uzinifuu usikemewe kuna baadhi ya waislam wanakula nguruwe kwa kificho na wengine waziwazi lakini haiondoshi maana ukweli utabaki palepale nguruwe ni haramu kwa mujibu wa dini. Lazima huyo mke akemewe
Uzinifu hovyo ni dhambi ya wakristo tena? e!
 
Baada ya kumsilimish ulitakiwa
Usimuache baada ya hapo, ungempa vitabu vya Dini, unge mfundisha Dini vizuri, ikiwa wewe hujui ungemtafutia Mwalimu japo umlipe aweze kumfundisha Uislam.

Makosa makubwa yanafanywa sana na Waislam, ni kuwa baada ya kumsilimisha mtu humwacha akaenda zake na hawamfuatilizii wala hawamsaidii kumfundisha Dini wala kujua kama anaswali, anafunga n.k. Jaribu kumsaidia kwa hali na mali kadiri uwezavyo .

Pia makosa makubwa yanatokea kwa kuwa wale wanaowasilimisha watu au kusababisha wasilimu, wao wenyewe hawatekelezi mafundisho ya Dini, hawaswali, hawana tabia njema za Kiislam na hata hawaijui Dini yao wenyewe. Jambo hilo huja kuwachanganya sana wanaosilimu, kwani wanakuta Uislamu unasema vingine na Waislamu wanafanya vingine!

Na ikiwa ni mtu ambaye hufuati mafunzo ya dini yako kamili, basi hukuchelewa sana, nakusihi, uanze kutekeleza na kujifunza kwa kusoma au kuhudhuria madarsa na mihadhara ya Dini n.k. kwani usipofanya hivyo ujue kuwa mkeo huyo uliyemsilimisha amesilimu jina tu lakini kivitendo hatopata mafunzo na mifano kutoka kwako atabaki kama alivyokuwa katika ukristo wake kwani anakutegemea sana wewe khaswa kwa kupata mafunzo ya dini .
Umenena mkuu!
 
Kwani baadhi ya wakristo wanavyofanya uzinifu Ovyoo ndivyo uzinifuu usikemewe kuna baadhi ya waislam wanakula nguruwe kwa kificho na wengine waziwazi lakini haiondoshi maana ukweli utabaki palepale nguruwe ni haramu kwa mujibu wa dini. Lazima huyo mke akemewe

Mmeshikiaga hapo hapo kwenye mdudu na kuna minyama mingi tu imekatazwa kuliwa
 
Wacha ale hyo ni addiction aisee kama bhangi kuacha si rahisi MPE muda
 
Baada ya kumsilimish ulitakiwa
Usimuache baada ya hapo, ungempa vitabu vya Dini, unge mfundisha Dini vizuri, ikiwa wewe hujui ungemtafutia Mwalimu japo umlipe aweze kumfundisha Uislam.

Makosa makubwa yanafanywa sana na Waislam, ni kuwa baada ya kumsilimisha mtu humwacha akaenda zake na hawamfuatilizii wala hawamsaidii kumfundisha Dini wala kujua kama anaswali, anafunga n.k. Jaribu kumsaidia kwa hali na mali kadiri uwezavyo .

Pia makosa makubwa yanatokea kwa kuwa wale wanaowasilimisha watu au kusababisha wasilimu, wao wenyewe hawatekelezi mafundisho ya Dini, hawaswali, hawana tabia njema za Kiislam na hata hawaijui Dini yao wenyewe. Jambo hilo huja kuwachanganya sana wanaosilimu, kwani wanakuta Uislamu unasema vingine na Waislamu wanafanya vingine!

Na ikiwa ni mtu ambaye hufuati mafunzo ya dini yako kamili, basi hukuchelewa sana, nakusihi, uanze kutekeleza na kujifunza kwa kusoma au kuhudhuria madarsa na mihadhara ya Dini n.k. kwani usipofanya hivyo ujue kuwa mkeo huyo uliyemsilimisha amesilimu jina tu lakini kivitendo hatopata mafunzo na mifano kutoka kwako atabaki kama alivyokuwa katika ukristo wake kwani anakutegemea sana wewe khaswa kwa kupata mafunzo ya dini .
Upo sawa mkuu waislam walio wengi husilimisha wakristo kwa ajili ya kuidhinisha ndoa msikutini ili asionekane kaoa dini tofauti ataitwa mzinzi baada ya ndoa hakuna jitihada za elimu ya dini kwa mhusika hivyo basi mleta mada anza kujitathimin kwanza wewe its not too late to make hard decision
 
Habari wana jamvi. Mm nimeoa mke mwaka mmoja sasa. Nilimuoa binti wa Kikristo baada ya kuridhiana nae ikabidi abadili dini na kuwa muislam. Sasa Tatizo ninalo lipata ni kuwa nimegundua huyu binti anakula KITIMOTO. sasa suala hili limeniuma sana. Siku hizi nashindwa hata kula Romance wakuu nimekuwa sina amani na ndoa hasa ukizingatia mimi ni Muislam wa dhati kabisa
Naombeni mchango wenu wakuu kabla sijamface mke wangu. Ila ushahidi ninao kabisa na sio mara moja anakula na marafiki zake.
Wasalamu.
Mwache aishi kwa imani aitakayo, ilimradi basic needs za ndoa anazikamilisha...
 
Kimuingiacho mtu sio haramu bali kimtokacho, akikutapikia kiti moto ndio haramu mkuu, kula wala haikudhuru kitu, mbona huku kitaa waislam kibao tunakula nao? Usiseme huli kwa muamvuli wa dini sema wewe tu ndio huli but ukitumia mwamvuli wa dini unakosea, binafsi marafiki zangu wengi ni waislam na tunagonga mbuzi katoliki kama hatuna akili
 
Habari wana jamvi. Mm nimeoa mke mwaka mmoja sasa. Nilimuoa binti wa Kikristo baada ya kuridhiana nae ikabidi abadili dini na kuwa muislam. Sasa Tatizo ninalo lipata ni kuwa nimegundua huyu binti anakula KITIMOTO. sasa suala hili limeniuma sana. Siku hizi nashindwa hata kula Romance wakuu nimekuwa sina amani na ndoa hasa ukizingatia mimi ni Muislam wa dhati kabisa
Naombeni mchango wenu wakuu kabla sijamface mke wangu. Ila ushahidi ninao kabisa na sio mara moja anakula na marafiki zake.
Wasalamu.
Tatzo ulilitaka mwenyewe
Madrasa ulishindwa kupata
Msikitini ulishindwa kupata
Ktk vikundi vya kislamu ulishindwa kupata
JASIRI HAACHI ASILI
 
unayajua maandiko au umekariri haramu tu? si mwislamu au mkristo nguruwe si haramu soma maandiko usifuatemkumbo
Mimi ni Muislamu nguruwe ni haramu Nenda Kasome Suuratul Al Baqara .
Labda uwe huna dini kwa wakristo sijui.
 
Uislamu sio kuacha kula Nguruwe,ni imani,ulitakiwa umfundishe uislamu mkuu,kutokula nguruwe ni kipengele kidogo tu cha uislamu,ni cha vitu vilivyoharamishwa.Vitu vilivyoharamishwa ni vingi mkuu na hivyo ungemuelekeza.Mimi siafiki kuoa mtu aliyekulia na dini yake mpaka akawa mtu mzima wa kuoa,alikubali uislamu tu kwa ajili ya ndoa maana manaswara wenzake hawakuwa tayari kumuoa.Mkuu huyo hana imani ya dini ya kiislamu,bado ni mkristo ndio maana anjificha ili ale nguruwe.Cha kufanya ongea naye mkuu muelimishe na umpeleke madrasa ya watu wazima,muambie kama anaona unavyompenda hatosheki ila apate nguruwe mwambie unachukia,na katika mambo ambayo hayapendezi ni mke kumkera mume wake.Mueleweshe majukumu ya mke kwa mume wake.Na imani kama alibadili dini anakupenda ni kumrekebisha tu kidogo mbavu hazijanyooka mkuu.
 
Mmeshikiaga hapo hapo kwenye mdudu na kuna minyama mingi tu imekatazwa kuliwa
Na kila kilichohalali Quran kimehalalisha na kilicho haramu Quran imeharamisha mtoa Mada kauliza nguruwe, hajauliza mbwa Wala nyoka.
 
Usiwe unakiherehere cha kukurupuka kuquote uwe unasoma na kuelewa Kwann nimemjibu hivyo.
1. Em chukua maji kunywa.
Sio vita.

2. Nimesoma tangu ulivyoanza, ndio maana nimequote.

3. And I quote any post as I damn well please.
 
kabla ya ndoa ulikuwa unakula romance vizuri tu hakika, na mwenzio alikuwa anakula kitimoto zake kama kawaida....leo unaishi nae nyumba moja umeshindwa kula romance kweli?? hiyo expansion joint kwenye ndoa yako isikutie hofu ni mambo ya kawaida sana... kwa any convert!!
 
Habari wana jamvi. Mm nimeoa mke mwaka mmoja sasa. Nilimuoa binti wa Kikristo baada ya kuridhiana nae ikabidi abadili dini na kuwa muislam. Sasa Tatizo ninalo lipata ni kuwa nimegundua huyu binti anakula KITIMOTO. sasa suala hili limeniuma sana. Siku hizi nashindwa hata kula Romance wakuu nimekuwa sina amani na ndoa hasa ukizingatia mimi ni Muislam wa dhati kabisa
Naombeni mchango wenu wakuu kabla sijamface mke wangu. Ila ushahidi ninao kabisa na sio mara moja anakula na marafiki zake.
Wasalamu.
Muislam wa dhati ungefata binti wa kiislam aliyelelewa katika maadili ya kiislam.
Sio utafte mwngne amezoea ukristo kaona akukubalie kwasbb ya ndoa lkn moyoni mwake hajasilimu.
Sasa subr kwenye malezi ya watoto kichwa chako ndo kitawaka moto.

Hapo ndo kwanza kaz imeanza.
 
Muislam wa dhati ungefata binti wa kiislam aliyelelewa katika maadili ya kiislam.
Sio utafte mwngne amezoea ukristo kaona akukubalie kwasbb ya ndoa lkn moyoni mwake hajasilimu.
Sasa subr kwenye malezi ya watoto kichwa chako ndo kitawaka moto.

Hapo ndo kwanza kaz imeanza.
Mkuu penzi ni kama uyoga linachipuka popote
 
Back
Top Bottom