Jurisupridence
Member
- Apr 3, 2013
- 24
- 1
mwenye uhakika na E mail ya wizara ya elimu ambayo ipo active kwa katibu mkuu aweke bayana kwani inayosomeka kwenye home page yao ya website yao haipo active hata ile ya PS wa katibu mkuu.msaada please naomba mwenye nayo.