The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,414
Salaam waungwana .mimi niligundua sehemu ina dalili za kuwa na tanzanite maeneo ya nzega ,tabora tetesi alinipa mzee mmoja mlinzi nikaamua kufatana naye safari hadi kijijini ,kucheki nikaona dalili fasta nikamtafuta mzee mmoja sonara mkongwe alitokea kongo nikiepuka kumkodi proffessional geologist atanizunguka au atawatonya wenye fedha ,mzee akafanya vipimo pale akanihakikishia ,fasta nikaenda kwa mwenyekiti wa kijiji nikanunua eneo la ekari 30 kwa bei chee ila nikaandikisha na mhusika mkataba hadi kwa wakili kabisa .sasa najiuriza nafanyaje ili itambulike kisheria pana madini na ni pangu.