msaada wataalam modem

samilakadunda

JF-Expert Member
Oct 13, 2011
1,780
354
naomba kujuzwa modem ya kampuni ipi inaweza kuwa flashed? nanitaweza vipi kuiflash ili iweze kutumika line za mitandao yote?nisaidieni
 
Sio lazima kuflash kama mimi natumia moderm ya voda k3570-z ila natumia bila hata kuiflash fanya kutafuta humu ndani kuna mtu aliandika jinsi ya kutumia nokia pc na kutumia line zote kama mimi nilivyokuambia hapa nilipo natumia line ya Airtel na mambo yapo kama kawa so fanya kutafuta humu ndani utapata usiende mbali ningekuwa naweza kuweka link ningetafuta then ningekuwekea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom