talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Habari zenu wadau wa biashara,
Ninataka kununua chain saw kwa ajili ya kukatia miti kwenye shamba langu jipya ili kusafisha shamba kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa kilimo.
sihitaji kubwa sana kama ya kupasulia mbao bali kukatia miti tu. Ila nataka iwe nzuri ili itumike kwa miaka kadhaa hata kwa shughuli nyingine za kukata miti n.k
Nimewahi kuiona mashine moja ya STIHL original... niliipenda. nikipata kama ile nitafurahi sana.
NB: sihitaji brand za china na india kama mashine za TOYO na nyingine za namna hiyo.
Nawategemeeni sana wadau.... naihitaji kwa haraka ili kazi ianze kabla msimu wa mvua haujaanza mikoa ya magharibi.
Ninataka kununua chain saw kwa ajili ya kukatia miti kwenye shamba langu jipya ili kusafisha shamba kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa kilimo.
sihitaji kubwa sana kama ya kupasulia mbao bali kukatia miti tu. Ila nataka iwe nzuri ili itumike kwa miaka kadhaa hata kwa shughuli nyingine za kukata miti n.k
Nimewahi kuiona mashine moja ya STIHL original... niliipenda. nikipata kama ile nitafurahi sana.
NB: sihitaji brand za china na india kama mashine za TOYO na nyingine za namna hiyo.
Nawategemeeni sana wadau.... naihitaji kwa haraka ili kazi ianze kabla msimu wa mvua haujaanza mikoa ya magharibi.