Msaada wapi naeza pata TCL smart tv 32 ROKU TV

Msaada wapi naeza pata TCL smart tv 32 ROKU TV

Si ndo hapo mkuu nimezunguka mpaka basi naona solution ninunue roku streaming stick tu. Sijui kwann hawawekag picha halisi za mizigo waliyonayo
Kuna jamaa mmoja nilimchana humu akatokwa povu kinyama, binafsi mi nimenunua TCL GoLive nikifikiri ni Roku Tv! Jamaa washenzi kweli
 
Naweza pata hii hapa bongo?

TCL 32S305 720p Roku Smart LED TV
Hapana, hio subiria labda 2022 ndio wataanza kuzileta Kariakoo kwa mbwembwe wakati wenzetu wamehamia kwenye technology nyingine kabisa
 
Maisha yako yote..sijui kama hao jumia hawaendelezi uswahili uleule wa kuuza GoLive Tv kwa picha za TCL Roku
Sijawahi jua hayo, mimi nilichukua TCL Roku kwaajili ya Wazee wangu, iko vizuri kabisa.
 
Luna MTU anasema kuunganisha ni kazi kweli kwelii ,kivipi?
 
Ni kweli hizi Tcl hazina hiyo kitu mimi ninayo Rocku nimeweka ya nje ile nimependa zinadumu na nei inaniridhisha picha ni HD 1080 sio mbaya
Msaada WAP kwa dar naeza pata tcl smart TV inch 32 yenye built in ROKU TV maana nimezunguka madukan lakin nyingi in model za zaman ambazo hazina hii roku service. Au tcl zenye android OS atleast
 
Kuunganisha nipate free channel,,
Mimi nilikuwa natumia M3U playlist player, ila wameban Sasa hivi. Ni ngumu kupata chanell za bure.

Kuna Plex na Emby nasikia unaweza ku configure iptv ila step zake ni ngumu kidogo.

Ushauri ni vyema kutafuta tu Android TV kwa sasa.
 
Mimi nilikuwa natumia M3U playlist player, ila wameban Sasa hivi. Ni ngumu kupata chanell za bure.

Kuna Plex na Emby nasikia unaweza ku configure iptv ila step zake ni ngumu kidogo.

Ushauri ni vyema kutafuta tu Android TV kwa sasa.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom