Msaada wapendwa- bikra inanitesa

LAKI

Senior Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
100
Reaction score
37
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.

Back to topic,

Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)

Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.

Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.

Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?

Asanteni sana.
 
pole mwaya,

jitahidi kua karibu naye na muonyeshane upendo nje ya sex kwa mda, hata mkiwa kitandani mnaweza mkafanya yote na michezo ya kimahaba hata wiki nzima bila actual sex ,hii itasaidia kuirudisha akili yako katika tendo na utakua tayari kwa hilo tendo ndipo itawezekana bila maumivu hayo unayoyakuza hapa bure
 
Aisee nimecheka sana kwa hii post.Siwezi kutoa ushauri,ngoja wanawake waje wakupe maujanja ya kuondokana na uoga.Mimi kazi yangu katika hii post kama ulivyoona hapo mwanzo ni kucheka tu.
 
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
 
Tulieni mkashekiane hukohuko kwenye ndoa
 
Ni pm mwaya nikupe ushauri mzuri au njia nyingine nzuri ni yeye huyo jamaa aje tumpe ushauri.
 
biashara matangazo.....na wanavyopenda bikra humu...!!!!
 

we lijamaa wewe.....umenifurahisha sana, hata simba anapowinda akikaona katoto ka swala huwa anakaonea huruma
 
Mmmh! VANITY UPO VANITY IS VANITY!!!!!!!!!!!!!!!! Bei ya replacement imepanda sanaa sijui kama hio taarifa unayo! Amakweli Umuhimu wa kitu unaonekana kikiwa hakipo!
 
Kutofanya mapenzi kwa miaka 26 uliyonayo si ushahidi wa kwamba wewe ni bikra...wewe unachohofia ni kufanya mapenzi kabla hujaolewa ama ni kufanya mapenzi? Kama jibu ni unahofia kufanya mapenzi nikushauri uachane na mambo ya kuolewa na ujiunge na mashirika ya utawa! Kama hutojali naomba nijue unatoka kijiji gani kwanza ili nitume zawadi kwa ulinzi shirikishi uliokulindia hiyo makitu too date(kama hudanganyi!)
 
!
!
maama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!...miaka 26!????
Mungu wangu, itakuwa ishaziba tayari loh loh loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…