Very good.....
Huyu jamaa nimeshindwa kabisa kumuelewa. Mara ni ME mara ni KE ali mradi haeleweki hata chembe na sijui sababu ya yeye kujiweka kwenye jinsia zote mbili ni ipi hasa.
Kumbuka wakati huo mkuu nilikuwa sijaoa.
Pole kiongozi! Mara zote huwa namuomba Mungu aniepushe na hii kitu inaitwa majuto ni mjukuu. Nipo radhi nionekane mjinga lkn niepukane na majuto ni mjukuu! Ona sasa ndoa mbili zitasambaratika. Muombe sana Mungu kiongozi kwa jinsi furaha waliuokuwa nayo wanandoa hao! Chunga sana uhai wako!
ha ha ha ha haWewe ni hatare nduguView attachment 1002799View attachment 1002800