Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Wana JF habarini za jioni
Mimi nina miaka 31 sasa,hapo awali nilikuwa napiga mzigo kama kawaida ila kuna kipindi fulani nyuma (kama mwaka hivi umepita) nikatokewa na hali ya upungufu wa nguvu,jogoo akawa hana nguvu za kutosha kusimama, wakati mwingine nikiwa na mwanamke inaweza isisimame kabisa au ikasimama nikapiga goli moja then ikalala na isisimame tena kwa wakati huo, tatizo lilanza hivi;
sikuwa na kazi kwa wakati huo hivyo nilikuwa na wasiwasi sana wa ukali wa maisha na lishe pia ilikuwa duni kwa mda fulani lakini hata niliporudia lishe bora tatizo bado likaendelea,nikatumia dawa za mizizi ya kienyeji ambayo nilipewa na mtu mmoja huko nilipokuwa akwa wakati huo,nikatumia baada ya muda nikajikuta nimegain momentum na kiawa napiga kama kawa, lakini sina uhakika sana kama ile dawa ndo ilinisaidia kwa sababu wakati huo pia anixiety na stress zilipungua,sasa tatizo hilo limejitokeza tena,na nina stress na anxiety za maisha kiasi kutokana na kipato changu hakitoshelezi mahitaji ya maisha yangu,sasa haina nguvu tena kama mwanzo,naomeni msaada wa ushauri na tiba wakuu, najua humu kuna wataalamu madaktari na wengine wenye uzoefu na matatizzo kama haya.
Pls nipeni msaada wenu ukipenda unaweza ukanipm pia
Asanteni
Mimi nina miaka 31 sasa,hapo awali nilikuwa napiga mzigo kama kawaida ila kuna kipindi fulani nyuma (kama mwaka hivi umepita) nikatokewa na hali ya upungufu wa nguvu,jogoo akawa hana nguvu za kutosha kusimama, wakati mwingine nikiwa na mwanamke inaweza isisimame kabisa au ikasimama nikapiga goli moja then ikalala na isisimame tena kwa wakati huo, tatizo lilanza hivi;
sikuwa na kazi kwa wakati huo hivyo nilikuwa na wasiwasi sana wa ukali wa maisha na lishe pia ilikuwa duni kwa mda fulani lakini hata niliporudia lishe bora tatizo bado likaendelea,nikatumia dawa za mizizi ya kienyeji ambayo nilipewa na mtu mmoja huko nilipokuwa akwa wakati huo,nikatumia baada ya muda nikajikuta nimegain momentum na kiawa napiga kama kawa, lakini sina uhakika sana kama ile dawa ndo ilinisaidia kwa sababu wakati huo pia anixiety na stress zilipungua,sasa tatizo hilo limejitokeza tena,na nina stress na anxiety za maisha kiasi kutokana na kipato changu hakitoshelezi mahitaji ya maisha yangu,sasa haina nguvu tena kama mwanzo,naomeni msaada wa ushauri na tiba wakuu, najua humu kuna wataalamu madaktari na wengine wenye uzoefu na matatizzo kama haya.
Pls nipeni msaada wenu ukipenda unaweza ukanipm pia
Asanteni