jcapitalyoya
New Member
- Jun 21, 2023
- 4
- 3
Nauliza kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kwenda chuo cha ualimu Korogwe niko hapa mmoja kati yenu.
Mawasiliano: 0783671666
Mawasiliano: 0783671666
Huyu ni muhitimu wa form four bado siyo mwalimu.Walimu mna shida kichwani sijui mlizaliwaje
Ni salama kwa nilivyo dhani kama haikuhusu achana nayoPamoja na maoni ya wachangiaji mada hii waliotangulia, si salama, namaanisha ni hatari kubwa 'kuanika' namba ya simu mtandaoni kama alivyofanya muanzisha 'uzi'
Khaaaa We dogo wa Hovyo mbona umeukataa Ushauri mzuri kwa Kibri hivyo?Ni salama kwa nilivyo dhani kama haikuhusu achana nayo
Sio hivyo kibri au kaa we kama haimuhusu ha achane nayo halafu hii ni education forum ko sijaongea au kuweka namba kwa mambo ya kijingaKhaaaa We dogo wa Hovyo mbona umeukataa Ushauri mzuri kwa Kibri hivyo?
Hautakiwi kuchukulia mambo personal.Ni salama kwa nilivyo dhani kama haikuhusu achana nayo
Waliochaguliwa na tamisemiKwan selection zimeshatoka tayar??