frank nyantu2 JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 298 Reaction score 162 Mar 17, 2017 #1 Cm yangu ina kawaida ya kufuta majina kwenye contact list hasa yale ambayo natumia sana
Me I and my self JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,084 Reaction score 8,860 Mar 17, 2017 #2 Hiyo simu yako ni nzuri sana inakusaidia kuondoa namba za michepuko.
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,369 Mar 18, 2017 #3 ikifuta w save tena
No Escape JF-Expert Member Joined Mar 7, 2016 Posts 6,663 Reaction score 7,828 Mar 18, 2017 #4 Angalia setup yako kwenye Contacts.......
iNine9 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 5,149 Reaction score 9,970 Mar 18, 2017 #5 Save majina katika Gmail account yako badala ya kwenye SIM card na pia kama ukiona hali kama hiyo inatokea uwe unajarbu ku restart sim yako yanarudi.
Save majina katika Gmail account yako badala ya kwenye SIM card na pia kama ukiona hali kama hiyo inatokea uwe unajarbu ku restart sim yako yanarudi.