Msaada wale wazee wa android ROMS na style za flash zipi

Msaada wale wazee wa android ROMS na style za flash zipi

SEMA SIJAONA MTU AKIELEZEA SIMU MPYA YA GOOGLE INAITWA ,Google Pixel Phone and Pixel XL SIJAONA KIBISA VIPI MKUU Chief-Mkwawa UNAWEZA KUTUPA MAUJANJA KUHUSU HII SIMU MKUU
 
hayo mapenzi ulio nayo na NOKIA hahahaha noma unaona kabisa kampuni inayumba yumba boss anasema mpaka analia

mkuu tumia akili ukisoma tu hapo unaelewa

-jamaa kawa approach nokia 1998 na wakamtosa akasema miaka 4 baadae waka decline (inamaana 2002) je ni kweli mauzo ya Nokia yalishuka 2002?
-kwamba 1998-2002 palm na os nyengine za smartphone zilikuwa na share kubwa kumsumbua Nokia (symbian) ni kweli? huu ni uongo wa kupitiliza sababu kipindi hiko hata Nokia hana smartphone, smartphone ya kwanza ya Nokia ilitoka mwaka 2002 inaitwa Nokia 7650 hebu google hata kidogo utaona,
-katika uhai wake wote mpaka Elop anasema symbian ni burning platform hakujawahi kutokea os yenye marketshare kubwa kushinda symbian.

by the way Nokia kama kampuni inayumbaje? hata siku moja ushawahi kuangalia mapato yao? 23.2b euro ni mapato ya 2015 na wapo profitable, pia Nokia ameinunua alcatel lucent ambayo mapato yake ni 14.3b euro hivyo jumla ni kama 27.5b euro ambayo ni sawa na dola za kimarekani kama bilioni 30. sio hela nyingi kushindana na kampuni kama apple na samsung lakini ni hela nyingi sana compare na kampuni kama
HTC- 3.6B
xiaomi- 20B
blackberry 2.1B

na hata hayo makampuni makubwa kama lg, sony, etc mapato yao ya technology zinazohusiana na simu hayafikii mapato ya Nokia.
 
mkuu tumia akili ukisoma tu hapo unaelewa

-jamaa kawa approach nokia 1998 na wakamtosa akasema miaka 4 baadae waka decline (inamaana 2002) je ni kweli mauzo ya Nokia yalishuka 2002?
-kwamba 1998-2002 palm na os nyengine za smartphone zilikuwa na share kubwa kumsumbua Nokia (symbian) ni kweli? huu ni uongo wa kupitiliza sababu kipindi hiko hata Nokia hana smartphone, smartphone ya kwanza ya Nokia ilitoka mwaka 2002 inaitwa Nokia 7650 hebu google hata kidogo utaona,
-katika uhai wake wote mpaka Elop anasema symbian ni burning platform hakujawahi kutokea os yenye marketshare kubwa kushinda symbian.

by the way Nokia kama kampuni inayumbaje? hata siku moja ushawahi kuangalia mapato yao? 23.2b euro ni mapato ya 2015 na wapo profitable, pia Nokia ameinunua alcatel lucent ambayo mapato yake ni 14.3b euro hivyo jumla ni kama 27.5b euro ambayo ni sawa na dola za kimarekani kama bilioni 30. sio hela nyingi kushindana na kampuni kama apple na samsung lakini ni hela nyingi sana compare na kampuni kama
HTC- 3.6B
xiaomi- 20B
blackberry 2.1B

na hata hayo makampuni makubwa kama lg, sony, etc mapato yao ya technology zinazohusiana na simu hayafikii mapato ya Nokia.
Nashukuru mkuu nilita ufunguke hivi sasa
 
Mshikaji hapo cha kufanya deal Na how to install custom recovery to your phone model.kwa maana ya kwamba CWM Na TWRP ndo zenye uwezo wa kuinstall custom rom ikiwa katika format ya zip Na format nyngne za mafile ukitofautisha Na Odin ambayo inaweza kuinstall rom package iliyopo ktk format ya Tar au MD5
 
Back
Top Bottom