ze big
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 382
- 351
SM-A800F![]()
detail zake hizi apa kk
SM-A800F![]()
detail zake hizi apa kk
hii inayo official marshmallow update. nenda setting then about then software update halafu angalia updateSM-A800F
Mkuu nimefanya hivyo sanaaa lakini sijapata updateshii inayo official marshmallow update. nenda setting then about then software update halafu angalia update
kama una pc download kies au smartswitch halafu tumia hio kucheki updateMkuu nimefanya hivyo sanaaa lakini sijapata updates
Nikisha download naconnect sim au nafanyaje kiongozi. Usinichoke nina shifa kweli na marshmallowkama una pc download kies au smartswitch halafu tumia hio kucheki update
yap unaconect simu na pc halafu kuna sehemu kumeandikwa emergency firmware kama sjakosea kuna mambo kama serial utaambiwa uyajaze haya unayapata nyuma ya simu ukitoa battery, kama simu yako haitoki battery huandikwa nyuma ya cover.Nikisha download naconnect sim au nafanyaje kiongozi. Usinichoke nina shifa kweli na marshmallow
Sawa brother ntaleta mrejesho asante mno nw na download kies kwenye pcyap unaconect simu na pc halafu kuna sehemu kumeandikwa emergency firmware kama sjakosea kuna mambo kama serial utaambiwa uyajaze haya unayapata nyuma ya simu ukitoa battery, kama simu yako haitoki battery huandikwa nyuma ya cover.
nimeroot kwa kingroot tuumesharoot? cwm unaiflash na odin.
]Samahani Mkuu nauliza swali njee ya mada kidogo Kati ya Samsung Note 5 & Note 4 ipi kali kwako? na kwanini1. eka link ya hio firmware
2. custom rom haiwekwi na odin utahitaji recovery kama twrp na cwm
-hakikisha simu umeroot
-hakikisha una twrp au cwm umeflash kwenye simu
-eka custom rom
note 5 nzuri specs wise kila kitu cha note 5 ni kizuri kuanzia storage, ram, processor, gpu, modem etc]Samahani Mkuu nauliza swali njee ya mada kidogo Kati ya Samsung Note 5 & Note 4 ipi kali kwako? na kwanini
Nashukuru kwa maelezo yako mazuri nakuna hili lingine Vodacom wametoa simu mpya inaitwanote 5 nzuri specs wise kila kitu cha note 5 ni kizuri kuanzia storage, ram, processor, gpu, modem etc
sema battery ya note 5 haitoki na material yake ya glass ni rahisi kupasuka.
ila pia note 5 ina warranty sasa hivi wakati ya note 4 imeisha hivyo ukinunua note 5 ya africa utapata warranty hata kioo kikipasuka watatengeneza bure.
mkuu system haifutiki ila apps zinafutika, futa usizotumiautaona hapa storage imeishia kwenye apps & system Chief-Mkwawa
kwa bei gani? ikiwa chini yA 150,000 sio mbayaNashukuru kwa maelezo yako mazuri nakuna hili lingine Vodacom wametoa simu mpya inaitwa
Smart 6 speed vipi unaweza kunipa maelezo kuhusu hii simu kwa Uzuri zaidi Mkuu
Yeah wanauza bei hiyo hiyo Mkuu laki na 50,vp unaweza ukaicheki nakuitolea maelezo kidogo uzuri wake na matatizo yakekwa bei gani? ikiwa chini yA 150,000 sio mbaya
uzuri wakeYeah wanauza bei hiyo hiyo Mkuu laki na 50,vp unaweza ukaicheki nakuitolea maelezo kidogo uzuri wake na matatizo yake
HIYO ITAKUSUMBUA TUMIA HIVYO HIVYO USIJARIBUnatumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza kazi nimechunguza kwa makini inabidi nitumie njia ya
TRU CWM AMBAYO KWANGU NI NGENI SIIJUI KABSA
NAOMBENI MSAADA WATAALAM WA HAYA MAMBO JAMANIII