Msaada wakuu

Msaada wakuu

Mivi

Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
73
Reaction score
54
Habari jaman ,naombe elimu juu ya mtu kuweza kupata mawasiliano yako,ambayo umewasiliana Mfano sms za kawaida na whasup, na nawezaje kuzuia asipate mawasiliano yangu, watu wa it mnisaidie juu ya hili
 
Jaribu kuandika uzi kwa mtiririko mzuri wa mawazo na bila kukosea herufi, maana Uzi wako haueleweki na ndio maan wajuvi wa mambo wanashindwa kukusaidia.
 
Jaribu kuandika uzi kwa mtiririko mzuri wa mawazo na bila kukosea herufi, maana Uzi wako haueleweki na ndio maan wajuvi wa mambo wanashindwa kukusaidia.
Namanisha nawezaje kuzuia mtu.mwingine asihack simu yangu, pia kuna njia nyingine naweza kufuta sms, zote za zaman mtu akihack asizipate
 
Repeat again bado sijakumanya
 
Back
Top Bottom