Msaada wakuu, tamaa imeniponza

Vijana wa siku hizi bana...baada ya kuuwazia ugonjwa....yeye anaumizwa na kukosa mbunye tu....!!!!
 
M'Mungu nae ameamua kukuadhirisha...ndio ukome!!
 

Pole kaka mkeo ameshakupiga kipapai..... Yaani jogoo anawikia kwa mkeo tu, hiyo dawa imezagaa mjini hapa wanawake wengi wanawafanyia wapenzi wao hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yawezekana uliingiwa na Hofu ya ghafla.

Ondoa Hofu, wewe huna tatizo
 
Acha tamaa, utaharibu ndoa yako. Kuhusu ugonjwa subiri upone ndio ujue kama tatizo lako ni temporary au permanent.
 
Wamekuroga mkuu. Yaani na kumtomasa kote shem imeshindwa hata kunesa !!?. Pole sana
 
Jibu ni moja tu. Ww ni onja onja. Ndio maana Mungu amekuabisha kwa sababu ya hiyo tabia yako. Acha kabisa
 
Dawa za malaria hizo.. na hunywi maji kwa wingi... maliza dozi kwanza ya dawa utakuja kufa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…