Nadhani huo wimbo unaitwa supuJamani kuna nyimbo aliimba lady jay Dee ina mahathi ya kidini najaribu kuikumbuka nashindwa. Aliimba na mtu kama sio msouth afrika mganda. Msaada wakuu anaeukumbuka
Ongezea hapo na huuOngeza na hii ya FA ft Jide - siku macho nikiyafumba.(sina uhakika na jina la huu wimbo)
Dhaaaa!!! Aiseee!! Mkuu unaturudishaKuna ule waliimbaga nadhani yupo na Mr blue
"usikatae wakikwita labda kesho yatakukuta
Dunia yabadilika hujui lini wataanguka"
Ulikuwaga unahamasisha kuchangia watu wasiojiweza
Dhaaa!! Jay d alikua mzur jaman
Dhooo!!,kweli mungu hakup
Vyote
Mkuu hebu nisaidie audio please
Kama unayo
Asante.Unaitwa "Sitoamka"