mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Wana JF habarini za majukum? Mie mwenzenu niko njia panda nahitaji msaada wenu wa mawazo nataka kununua gari je kuagiza kati ya Dubai na Japan wapi kuna unafuu kwa maana ya kupata gari nzuri na unafuu wa bei pia, kama kuna mtu anafaham link za kuziamini kwa wauzaji wa magari Dubai naomba mnisaidie.
Shukrani ndugu zangu
Shukrani ndugu zangu