Wadau kuna kijana amemaliza form 4 mwaka 2006 akapata div 3 ya points 23 kwa mchanganuo wa civics B, history C, geography D, Kiswahili C, English C, Biology F, Math C. Mwaka 2010 akasoma cheti cha sheria ktk chuo cha uongozi wa mahakama lushoto na kumaliza mwezi july mwaka huu kwa ufaulu wa upper second ya 3.8, GPA. Je kuna uwezekano wa kijana huyu kujoin digrii ya sheria kama upo tafadhari naomba unitajie hivyo vyuo. Ahsanteni