Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 140
- 130
Napenda kuuliza hii ikoje
Nina kesi mahakamani ambayo nimeikatia rufaa kutoka mahakama ya wilaya kwenda mahakama kuu niliwasilisha rufaa yangu mwezi 10/2017
Nikapangiwa tarehe yakuludi mwezi 11/2017
Tarehe ilipofika tulienda nilitegemea nitapewa majibu ya pingamizi ya rufaa yangu lakini skupewa kesi ilipigwa tarehe mpaka mwezi 02/2018 tarehe ilipo fika tulienda ndo nikapewa majibu ya pingamizi ikionyesha tarehe iliyo jibiwa ni mwezi wa 11/2017 lakini mrufaniwa hayo majibu alinipa mwezi wa 02/2018 naona huo nikama ujanja wakutaka kunipiga chini ionekane kuwa nimechelewa kujibu kumbe yeye ndo aliye chelewa au hapo ikoje msaada wenu wanasheria nifanyaje hapo kesi ilipigwa tarehe mpaka mwezi wa 06/2018 nisaidieni asanteni sana
Nina kesi mahakamani ambayo nimeikatia rufaa kutoka mahakama ya wilaya kwenda mahakama kuu niliwasilisha rufaa yangu mwezi 10/2017
Nikapangiwa tarehe yakuludi mwezi 11/2017
Tarehe ilipofika tulienda nilitegemea nitapewa majibu ya pingamizi ya rufaa yangu lakini skupewa kesi ilipigwa tarehe mpaka mwezi 02/2018 tarehe ilipo fika tulienda ndo nikapewa majibu ya pingamizi ikionyesha tarehe iliyo jibiwa ni mwezi wa 11/2017 lakini mrufaniwa hayo majibu alinipa mwezi wa 02/2018 naona huo nikama ujanja wakutaka kunipiga chini ionekane kuwa nimechelewa kujibu kumbe yeye ndo aliye chelewa au hapo ikoje msaada wenu wanasheria nifanyaje hapo kesi ilipigwa tarehe mpaka mwezi wa 06/2018 nisaidieni asanteni sana