Msaada wakala wa kuuza viwanja

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,523
6,413
mambo vipi jamani

Kuna mtu alinambia kuwa kuna wakala binafsi ambazo huwa zinadeal na kuuza viwanja..... Sasa naomba kwa yoyote mwenye ufahamu anijulishe, mm nina shamba la hekari 5 liko kigamboni buyuni sio mbali na beach nataka kuliuza hiyo ndio sababu ya kuwatafuta hao jamaa ili nijue wananisaidia vipi
kwa yoyote mwenye kuwajua au mwenye uelewa anijulishe
 
mambo vipi jamani

Kuna mtu alinambia kuwa kuna wakala binafsi ambazo huwa zinadeal na kuuza viwanja..... Sasa naomba kwa yoyote mwenye ufahamu anijulishe, mm nina shamba la hekari 5 liko kigamboni buyuni sio mbali na beach nataka kuliuza hiyo ndio sababu ya kuwatafuta hao jamaa ili nijue wananisaidia vipi
kwa yoyote mwenye kuwajua au mwenye uelewa anijulishe
Weka namba yako ....mtu yoyote anaweza kuwa agent wako huwezi jua....Labda kuna mdau humu anamfahamu mtu mwenye huitaji wa eneo kama hilo

Ova
 
mambo vipi jamani

Kuna mtu alinambia kuwa kuna wakala binafsi ambazo huwa zinadeal na kuuza viwanja..... Sasa naomba kwa yoyote mwenye ufahamu anijulishe, mm nina shamba la hekari 5 liko kigamboni buyuni sio mbali na beach nataka kuliuza hiyo ndio sababu ya kuwatafuta hao jamaa ili nijue wananisaidia vipi
kwa yoyote mwenye kuwajua au mwenye uelewa anijulishe

Sema bei kuna wanunuzi pia bila ya mawakala
 
Back
Top Bottom