Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
kaka miaka miwili sio haba kujua tabia ya mtu wako uliyenaye karibu mudamwingi!Amini usiamini kunakitu huyo mpenzi wako anafanya thats why hauna imani naye na ndio maana umeweza kunotisi hayo uliyoeleza! Yaliwahi kunikuta kama hayo na nikapiga chini baadaye nikaja kupata picha nzima kuwa alikuwa na mahusiano na lecturer wetu (hapo chuoni) lakini pia alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na moja wapo ya mabest frend zangu! So chukua hatua mapema sana watu niwasanii kupita kiasi! Kuna principle inasema kwamba ni kheri kuchukua maamuzi mapema hata kama si muda muaafaka hata kama hauna ushaidi wa kutosha, kuliko kuchukua hatua muafaka na kwa muda sahii na unaushahidi wa kutosha but too lleiti coz tayari mambo yatakuwa yameshaharibika, na hata kuumia utakuwa umeumia! Nimejifunza kutek maamuzi mapema sana punde nionapo dalili mbaya ambazo ninauhakika awali hazikuwepo coz kila kitu huwa na chanzo chake/sababu. Pole kaka think out of the box maisha haya siyo ya kufanyiana majaribio.
THINK BIG EVERY TIME!!
THINK BIG EVERY TIME!!