msaada wajameni

msaada wajameni

Huo sio ushauri mkuu. Ndugu yetu amepata tatizo na anhitaji ushauri. Kama hukua na ushauri bora ungekaa kimya mambo yakusema siko kwenye ndoa,sijui unalo, cjui nini hayo sio maneno na leo kwake na kesho pia laweza kuwa kwako xo watch out mkuu.

kwani aliulizwa kama anandoa au hana? wengine kunyamaza kwao mwiko mtajuaje kama yupo? uwiiiiiiii!
 
hivi jaman uko katika ndoa yako na mme wako unayemwamn na kumpenda sana.alafu unahs kama anakuchit ili ujipatie uhakika ukaamua kuchungulia simu na kweli ukakuta sms za mapenz na mwanamke mwingne ukajaribu kumkanya ikashindikana kibaya zaidi sasa hivi huyo mwanamke kapata namba yako ya simu anakutukanaje sasa na kukuchamba.
mshaurin jaman

Yaani nikisikia kuwa HAWARA kapata namba ya simu ya MKE huwa nasikitika sana. Inakuwaje hii kitu!!!! Wanaume wa aina hii ambao hawawathamini wake zao hadi kufikia mahali anatoa namba ya mke wake kwa hawara huwa wanaKERA sana. Kwani haiwezekani mkafanya mambo yenu mpaka umpe/ uache hawara anapata simu ya mke wako na kuanza kumtukana?
wewe MWANAUME mwenye tabia hii huwa unapata faida gani? OVYOOOO..........

Halafu na sisi wanawake ndio chanzo cha yote haya, wewe unajua kuwa mwanaume uliye naye ni mume wa mtu, mpaka umtukane mke wake ndio ujione mshindi, Huo ni ushamba na ulimbukeni. Tubadilike. Maana hizo nyumba ndogo zingine zipo humuhumu na mtakuwa mnasomo huu ujumbe. Umeshachukua mume wa mtu, matusi ya nini? mwenyewe ndio unaona umeWIN kumbe umejiunga kwenye mtandao wa HIV bila kujijua.

Huyo dada namshauri acool down, hayo ndio mapito ya ndoa. Huyo changudoa anayemtukana wala asimjibu, atachoka tu! Wewe ndio MKE wengine wote photocopy, leo yeye nyumba ndogo kesho atakuwa nyumba kubwa, huwa hazifiki mbali hizo ni mbwembwe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom