ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
Me nmeoa nko na mke wa watto 3, lakini kuna demu anaishi jirani cc, chakushangaza uyo demu kila asbh cku za kz akawa anatym on the way, ikawa ni km kawaida jiran yangu nkawa nnam-pick almost miez sita iv, akaanza niambia shem mshamba,mbona umezubaa sana?
Mara nkajikuta nmemsalita ma wife nkaanza mega kistyle! mwz iliyopta ilibidi niende likizo niweze kumkwepa -maana mida yake ni asbh na jion-so likizo imeisha tar 12-11. Na leo wakati naenda job nkamkuta njian, km jiran nkampa sapoti km kawa,akafika anaposh?
Nimetoka lkzo anasema nmemtesa kwa muda mrefu sana kmapenz yaan mwez 1, na anasema n mjamzto wa miez 2 na mm nlikua nakula na magwanda! nmejariau kumwelewesha naona hanielewi na amesisitiza lazma ntoe ma2mizi vngnevyo atalipiza kisasi kwa wife!
Nisaidien coz ma head z still loading....and networt smtym not available at all...
Mara nkajikuta nmemsalita ma wife nkaanza mega kistyle! mwz iliyopta ilibidi niende likizo niweze kumkwepa -maana mida yake ni asbh na jion-so likizo imeisha tar 12-11. Na leo wakati naenda job nkamkuta njian, km jiran nkampa sapoti km kawa,akafika anaposh?
Nimetoka lkzo anasema nmemtesa kwa muda mrefu sana kmapenz yaan mwez 1, na anasema n mjamzto wa miez 2 na mm nlikua nakula na magwanda! nmejariau kumwelewesha naona hanielewi na amesisitiza lazma ntoe ma2mizi vngnevyo atalipiza kisasi kwa wife!
Nisaidien coz ma head z still loading....and networt smtym not available at all...