Zombi Mweusi JF-Expert Member Joined Feb 9, 2017 Posts 1,076 Reaction score 2,161 Sep 22, 2022 #1 Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini
Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini
AlexProsper JF-Expert Member Joined Jul 1, 2022 Posts 3,408 Reaction score 6,269 Sep 22, 2022 #2 Ngoja waje Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Zombi Mweusi JF-Expert Member Joined Feb 9, 2017 Posts 1,076 Reaction score 2,161 Sep 22, 2022 Thread starter #3 Mbona hawafiki nisaidie kumtagi chief mkwawa
King Elly JF-Expert Member Joined Sep 19, 2013 Posts 1,206 Reaction score 1,321 Sep 22, 2022 #4 Zombi Mweusi said: Mbona hawafiki nisaidie kumtagi chief mkwawa Click to expand... Mi nipo Dodoma ulikua unataka software? Ila kwasababu umesha SEMA hapa Dom uwez pata basi subil waje wa Mikoani
Zombi Mweusi said: Mbona hawafiki nisaidie kumtagi chief mkwawa Click to expand... Mi nipo Dodoma ulikua unataka software? Ila kwasababu umesha SEMA hapa Dom uwez pata basi subil waje wa Mikoani
Zombi Mweusi JF-Expert Member Joined Feb 9, 2017 Posts 1,076 Reaction score 2,161 Sep 22, 2022 Thread starter #5 King Elly said: Mi nipo Dodoma ulikua unataka software? Ila kwasababu umesha SEMA hapa Dom uwez pata basi subil waje wa Mikoani Click to expand... Upo dom mitaa gani mkuu nifike ofisini
King Elly said: Mi nipo Dodoma ulikua unataka software? Ila kwasababu umesha SEMA hapa Dom uwez pata basi subil waje wa Mikoani Click to expand... Upo dom mitaa gani mkuu nifike ofisini
M Mukundumbusya Senior Member Joined Aug 11, 2016 Posts 168 Reaction score 143 Sep 22, 2022 #6 Zombi Mweusi said: Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini Click to expand... Simu yako inashida gani? Unaweza niona hapa Moco Services Business-Konto wa.me
Zombi Mweusi said: Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini Click to expand... Simu yako inashida gani? Unaweza niona hapa Moco Services Business-Konto wa.me
Ramlis JF-Expert Member Joined Aug 22, 2013 Posts 612 Reaction score 532 Sep 22, 2022 #7 Zombi Mweusi said: Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini Click to expand... Chukulia mfano mtu akuulize mashine ya kugundua magonjwa yote ya binadamu, kama ipo hiyo na ya simu itakuwepo. Mwisho japo siyo kwa umuhimu ungelezea kwa kitengo gani ungepata mwanga kutoka kwangu au kwa wadau wengine.
Zombi Mweusi said: Wakuu naombeni msaada wa kujua mashine ya kugundua matatizo ya simu inaitwaje na upatikanaji wake kwa dar maana hapa dodoma najua siwezi ipata Naombeni msaada tafadharini Click to expand... Chukulia mfano mtu akuulize mashine ya kugundua magonjwa yote ya binadamu, kama ipo hiyo na ya simu itakuwepo. Mwisho japo siyo kwa umuhimu ungelezea kwa kitengo gani ungepata mwanga kutoka kwangu au kwa wadau wengine.
kancarl JF-Expert Member Joined Jun 4, 2016 Posts 1,323 Reaction score 728 Sep 23, 2022 #8 Nachokijua zipo Za kutest component kama n nzima au laa Jifunzen kufanya right diagnosis Vitabu pdf na video zipo kibao Soma Kijana Fund hutembea na power supply, multimeter na kichwa chake
Nachokijua zipo Za kutest component kama n nzima au laa Jifunzen kufanya right diagnosis Vitabu pdf na video zipo kibao Soma Kijana Fund hutembea na power supply, multimeter na kichwa chake