Maccavelli
Senior Member
- Jul 18, 2018
- 173
- 174
Habari ya kutwa nzima wadau .?
Simu yangu aina ya Tecno L8 imeanza tatizo la kunisumbua charge siku ya pili leo, ukiweka kwenye charge inaweza pandisha asilimia labda hadi 15 ikaonyesha inapeleka chaji ila haito ongezeka hata niichaji siku nzima, .
Nimebadili system charge nikijua imekufa ila wapi tatizo liko pale pale naombeni msaada wenu tafadhali.
Simu yangu aina ya Tecno L8 imeanza tatizo la kunisumbua charge siku ya pili leo, ukiweka kwenye charge inaweza pandisha asilimia labda hadi 15 ikaonyesha inapeleka chaji ila haito ongezeka hata niichaji siku nzima, .
Nimebadili system charge nikijua imekufa ila wapi tatizo liko pale pale naombeni msaada wenu tafadhali.