laurentie
Senior Member
- Feb 24, 2012
- 100
- 76
Habari za jioni wadau ukiibiwa ukiwa ndani ya bank na ikithibitika kuwa kwli uliibiwa ukiwa ndani ya bank je liability itakua kwa bank au itakua ya kwako mteja?ukiibiwa na kibaka ukiwa ndani ya bank na ikathibitika kweli uliibiwa na ushahidi upo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app