Mkuu asikudanganye mtu, kuweza kuongea na kuandika kiingereza ni sana kuwa na mwalimu mzuri ambaye angalau awe kwenye kiwango cha kati cha kuijua lugha.
Pia tafuta MTU utakayekuwa unaongea lugha Mara kwa Mara. Kweny hili nipo tayari kakingereza kangu ka kayumba kukusukuma. Karibu