Msaada wa wazo la biashara

5.Nenda Kanda Ya Ziwa, Chukua kibali na leseni ya uchomaji/uuzaji mkaa.

Gharama ya kibali na leseni ni 60K/270K Jumla ni kama 330K.

Labda unaanza na gunia 10X15=150K Ukijumlisha na 330K=480K na usafiri ni 1 sack per 5000X10=50K, kwa hiyo utaanza na mtaji wa sh 600K by estimation.

UKIUZA GUNIA 1 BEI YA JUMLA NI SH 50K au 52K au 56K, Tunafanya hivi:-

Ndoo 1 ya lita 20 [debe 1 la mkaa] inauzwa sh 7.5K pengine 8K, Sasa gunia dogo ni debe 6X8=48K, La kati linabeba debe 7X7.5K=52.5K au 7X8K=56K wakati wewe ulinunua gunia 1 moja kwa 15K au 20K kama limepanda.

HATA: Ukiuza kwa ndoo ya lita 10 yaani nusu debe kwa sh 4-5K bado unakula vichwa kwa faida shazi.

Hata ukiuzwa makopo ya GOLD STAR au COLOR PAINT kwa buku kila kopo la mkaa, Bado faida ni shazi.

NOTE: Kama hunywi "pombe" wala hupendi sana "sketi" basi utapiga ankara ya kutakata.
Ahsante sana mkuu
 
8.Fungua huduma ya water supply, Nenda idara ya maji jisajili na ulipie wakuvutie bomba.

Ukiwa nyumbani, Uza maji kindoo kidogo (lita 10) ni sh 50 na ndoo kubwa [ya lita 20] ni sh 100 kule Lake Zone sijui bei ya Dar.

Chongesha toroli 5 kodisha toroli 4 kila moja kwa siku ni sh 1000.

Halafu toroli 1 ilobakia ni yako usiikodishe, Nenda nyumba kwa nyumba uwaombe uwe unawasambazia maji kwa toroli wanakulipa au weka kijana kama unaona soo.

NOTE: Bei ya kutengeneza toroli moja kwa nondo na bomba ni sh 70K, Kwa matano ni 5X70K=350K gharama ya kuchomelea matoroli matano.

Gharama ya kuvuta bomba la maji kule Lake Zone kama haijapanda ni sh 150K ila hapo haujaweka vifaa vingine unaweza kuazima. Baadhi ya vifaa ni kama pipe wrench, tape, praizi/katapraizi, koki, mpira, connector, ulaji wa fundi, n.k.
Reginald L. Ishala UNAJUA SIKUELEWI ELEWI! Unaposema Kanda ya Ziwa una maanisha nini- mikoa ya Mwanza, Mara, Shinyanga, Geita, Simiyu na Kagera au Wilayani zake au Vijijini vyake au Visiwa vyake (nakumbuka ulisema visiwani hapo juu)?

Hata hivyo miradi yote unayosema ni pesa tu! ILA inahitaji wewe mwenye mtaji uwepo na usimamie kwa karibu sana vinginevyo ina kula kwako. Naomba ufafanuzi zaidi kwa maswali yangu kabla sijaingia kwa undani kwenye hizo hesabu za biashara tofauti tofauti. Asante.
 
Hapo mkuu ni muhimu muhusika ajue ana taka afanye biashara gani kati ya hizo mbili maana tunapo sema

Commodity Business

Ni kwenda kuchukua bidhaa kwa wauzaji wa jumla afu wewe unaenda kuuza ili upate faida.

Expert Business (Entrepreneurship)

Kwanza una angalia jamii unayo ishi ina changamoto gani inayo wasumbua na hakuna solution iliyopatina ama kama ipo haija fika kwa watu wengi.

Wewe una enda kutafuta suluhisho la hiyo changamoto then una address tatizo lao ili uweze kuwa uzia suluhisho ulilo nalo.

Sasa hapo before huja pewa Idea ninge penda nijue una lenga biashara gani na pia kama kuna jambo unalijua naweza kukupa changamoto yake ili uweze kuuza solution katika jamii ya Watanzania then utengeneze pesa kwa mtaji mdogo na nguvu kidogo tu but maarifa zaidi.

Weka tu ideas zako kama unazo
Acha mambo meeeeengi yeye atajua yupo fungu gani
 
NAOMBA NISAIDIE MTU ANAYEUZA AKAUNTI YAKE UBER/BOLT
Naakaunti ya Uber nilifanya 2017 nikaja safiri. kwenda uganda sass tangu nirudi sijaifanya ingawa naonaga email za uber wakinipa updates.. ngoja niangalie kama iko active nikupe
 
Njoo ufungue Salon yakiume(Kinyozi) mtaan kwetu hapa Kuna location nzr kinoma alaf salon Hamna... tabata
 
Back
Top Bottom