mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
Ahsante sana mkuu5.Nenda Kanda Ya Ziwa, Chukua kibali na leseni ya uchomaji/uuzaji mkaa.
Gharama ya kibali na leseni ni 60K/270K Jumla ni kama 330K.
Labda unaanza na gunia 10X15=150K Ukijumlisha na 330K=480K na usafiri ni 1 sack per 5000X10=50K, kwa hiyo utaanza na mtaji wa sh 600K by estimation.
UKIUZA GUNIA 1 BEI YA JUMLA NI SH 50K au 52K au 56K, Tunafanya hivi:-
Ndoo 1 ya lita 20 [debe 1 la mkaa] inauzwa sh 7.5K pengine 8K, Sasa gunia dogo ni debe 6X8=48K, La kati linabeba debe 7X7.5K=52.5K au 7X8K=56K wakati wewe ulinunua gunia 1 moja kwa 15K au 20K kama limepanda.
HATA: Ukiuza kwa ndoo ya lita 10 yaani nusu debe kwa sh 4-5K bado unakula vichwa kwa faida shazi.
Hata ukiuzwa makopo ya GOLD STAR au COLOR PAINT kwa buku kila kopo la mkaa, Bado faida ni shazi.
NOTE: Kama hunywi "pombe" wala hupendi sana "sketi" basi utapiga ankara ya kutakata.