Msaada wa vyakula vya kuongeza sperms na kuziimarisha

Msaada wa vyakula vya kuongeza sperms na kuziimarisha

jenereta

Senior Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
146
Reaction score
40
Naombeni msaada wanajamvi, mnisaidie: ni vyakula gani ukila unaongeza uwingi wa shahawa/sperms na zinakuwa zenye nguvu, naomba mnisaidie.

natanguliza shukrani za dhati
 
Kwa kukusaidia kula mihogo mibichi,uyoga, karanga, korosho, mafuta ya alizeti, pweza, ngisi na maji ya kunywa yatokayo kwenye miamba chini ya ardhi. Jaribu ujionee tofauti
 
tumia karanga mbichi,muhogo,korosho na vyakula vya asili ambavyo havina mbolea lazima uwe fiti ktk game.
 
Shida yako inaonekana my Mpenzi wako huwa anazikagua ajue km umecheza rafu. Kunywa mtindi pakti moja, Ila Unywe Na maji Au chakula, ucpofanya hivyo choo atakuwa rfk yako. Hyo kitu Mzee masaa manne yanatosha kukupa vijiko viwili vya chakula
 
Mlo kamili unahusika mkuu na uache kula mayai ya kisasa
 
Kula vizuri pata maji ya kutosha na usiwe unafanya kila siku hope utakuwa sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom