doleicute
Member
- Oct 18, 2017
- 76
- 42
19/02/2009 saa sita usiku baba wa mtoto wangu (hatukuwa tunaishi pamoja) alinieleza kwa simu kuwa hanihitaji tena na ile barua ya posa alotoa tuisahau na maelezo juu ya malezi ya mwanetu akasema yeye anao watoto wengi so huyu mmoja hana shida nae
NAMNUKUU: "Nina watoto watano huyo mmoja nakushauri katafute mwanaume yeyote asiye na uhakika wa kizazi chake mpe kama zawadi". hapo binti yetu alikua na umri wa mwaka mmoja na miezi mitano. After that phone call hakuonekana tena mpk baada ya miaka miwili aliporudi na kuomba radhi kwamba mambo yake hayaendi sawa na anahisi labda nimemuwekea kinyongo ndio maana anazidi kushuka kimaisha.
I told him the truth that yes niko na maumivu because of ugumu wa maisha and yet im still lonely with no other income but mimi sio nliokufungia riziki and if your apologies comes from your heart then go with Peace ila kama ni dhihaka na majaribio kwa mungu you will find a lot of problems in your plate.
Aliondoka na hakugeuka nyuma, i suffered alot enough to poison myself with any kind of harms. nliamua kufanyakazi za ulinzi na kufanikiwa kupata lindo moja zuri ktk kampuni moja hapa dsm.
Japokuwa ilinibidi kupitia mapito mengi magumu ili kukidhi mahitaji ya mwanetu ikiwemo shule, pango,kula na matibabu (baba yake ni manager máhusiano ttcl) nlilala na wanaume tofauti ili kupata mahitaji ya binti yetu (nashukuru mungu alinilinda na maradhi).
Ndugu zake na baba yake waliingilia kati hili jambo lkn kwakuwa walimtegemea sana ndugu Yao kimaisha(maana ndiye aliyekuwa na uwezo) ilibidi washindwe kumkosoa deeply kwa hili so namimi nlikata tamaa kupata msaada wowote kutoka kwao.
After almost seven years since he abonden us huku nkiwa ktk hiyo kampuni ya ulinzi(nlikua nkisoma pia na kufanikiwa kupata diploma) nkabahatika kupata ajira ktk international organization(Diplomatic mission) hivi sasa npo kzn kwa miezi nane na binti yetu yupo Diamond primary school sasa (drs la tatu) yule mzazi mwenzangu kumbe alikumbwa na kashfa ya kukopa hela ktk mabenki mengi pamoja na mikopo binafsi ya riba na kushindwa kulipa sasa amesimamishwa kazi na wanataka kutumia mafao yake kulipa madeni hayo huku wadai wengine wakitangaza mali zake alizoweka rehani kuuzwa minadani kama fidia ya madeni Yao (kwakweli hili linaniuma hasa coz ana watoto).
Amesikia kuwa nina kazi nzuri na binti sasa anaishi nakusoma vizuri than alivotuacha ktk kachumba kasiko na umeme wala sakafu. Amemtuma mshenga wetu eti anitafute na atukalishe chini coz amegundua kosa lake na yupo tayari kutubu maisha yaendelee.
Swali langu kwenu ndugu zangu.
1.Nikimchunia ntahukumiwa na binti yetu kweli maana all i care is about our daughter and not him.
2. Kwa mfano akiniomba hela nkampa je hawezi niloga huyu kweli (kutokana na roho yake aliyoionyesha kwanzaa)
NAMNUKUU: "Nina watoto watano huyo mmoja nakushauri katafute mwanaume yeyote asiye na uhakika wa kizazi chake mpe kama zawadi". hapo binti yetu alikua na umri wa mwaka mmoja na miezi mitano. After that phone call hakuonekana tena mpk baada ya miaka miwili aliporudi na kuomba radhi kwamba mambo yake hayaendi sawa na anahisi labda nimemuwekea kinyongo ndio maana anazidi kushuka kimaisha.
I told him the truth that yes niko na maumivu because of ugumu wa maisha and yet im still lonely with no other income but mimi sio nliokufungia riziki and if your apologies comes from your heart then go with Peace ila kama ni dhihaka na majaribio kwa mungu you will find a lot of problems in your plate.
Aliondoka na hakugeuka nyuma, i suffered alot enough to poison myself with any kind of harms. nliamua kufanyakazi za ulinzi na kufanikiwa kupata lindo moja zuri ktk kampuni moja hapa dsm.
Japokuwa ilinibidi kupitia mapito mengi magumu ili kukidhi mahitaji ya mwanetu ikiwemo shule, pango,kula na matibabu (baba yake ni manager máhusiano ttcl) nlilala na wanaume tofauti ili kupata mahitaji ya binti yetu (nashukuru mungu alinilinda na maradhi).
Ndugu zake na baba yake waliingilia kati hili jambo lkn kwakuwa walimtegemea sana ndugu Yao kimaisha(maana ndiye aliyekuwa na uwezo) ilibidi washindwe kumkosoa deeply kwa hili so namimi nlikata tamaa kupata msaada wowote kutoka kwao.
After almost seven years since he abonden us huku nkiwa ktk hiyo kampuni ya ulinzi(nlikua nkisoma pia na kufanikiwa kupata diploma) nkabahatika kupata ajira ktk international organization(Diplomatic mission) hivi sasa npo kzn kwa miezi nane na binti yetu yupo Diamond primary school sasa (drs la tatu) yule mzazi mwenzangu kumbe alikumbwa na kashfa ya kukopa hela ktk mabenki mengi pamoja na mikopo binafsi ya riba na kushindwa kulipa sasa amesimamishwa kazi na wanataka kutumia mafao yake kulipa madeni hayo huku wadai wengine wakitangaza mali zake alizoweka rehani kuuzwa minadani kama fidia ya madeni Yao (kwakweli hili linaniuma hasa coz ana watoto).
Amesikia kuwa nina kazi nzuri na binti sasa anaishi nakusoma vizuri than alivotuacha ktk kachumba kasiko na umeme wala sakafu. Amemtuma mshenga wetu eti anitafute na atukalishe chini coz amegundua kosa lake na yupo tayari kutubu maisha yaendelee.
Swali langu kwenu ndugu zangu.
1.Nikimchunia ntahukumiwa na binti yetu kweli maana all i care is about our daughter and not him.
2. Kwa mfano akiniomba hela nkampa je hawezi niloga huyu kweli (kutokana na roho yake aliyoionyesha kwanzaa)